Baada ya miezi ya Mwigizaji Wema Sepetu kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)akitokea CCM, leo Miss Tanzania huyu wa mwaka 2006 ametangaza kurudi CCM.
Ameandika maneno yafuatayo >>> “Siwezi kuendelea kuishi kwenye Nyumba inayo nikosesha amani… Peace of mind is everything for me… Natangaza Rasmi kuondoka Chadema na Kurudi Nyumbani…. #ThereIsNoPlaceLikeHome… Feels good to be Back…”
No comments:
Post a Comment